• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Pangani District Council
Pangani District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala Za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya msingi
    • Mkakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Fedha Uchumi na Biashara
      • Elimu Sekondari
      • Maji
      • kilimo Umwagiliaji na ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya jamii na vijana
      • Ujenzi
      • Enviroment and Sanitation
    • vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Teknolojia Habari na Mawasiliano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Beekeeping
  • Fursa za Uwekezaji
    • Utalii
    • Uvuvi na Hifadhi ya Bahari
    • Biashara na Viwanda
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Huduma za kijamii
  • Madiwani
    • Orodha ya waheshimiwa madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmshauri
      • Kamati ya fedha ,mipango na uongozi
      • Kamati ya Elimu ,Afya na Maji
      • Kamati ya uchumi ujenzi na mazingira
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya kudhibiti Ukimwi
    • Ratiba ya vikao vya kisheria
      • Ratiba ya kuonana na Mh. Mwenyekiti
      • Ratiba ya vikao vya kisheria
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Repoti Mbalimbali
    • Mwongozo
    • fomu mbalimbali
    • Taratibu
  • Kituo cha Habari
    • Habari kwa umma
    • Hotuba
    • Video
    • Maktaba ya Picha

AWESO AWEKA MSISITIZO MIRADI KULETA TIJA KWA WANANCHI

siku ya kuwekwa : July 28th, 2019

Mbunge wa jimbo la Pangani mheshimiwa Jumaa Hamidu Aweso amefanya ziara ya kukakagua miradi mbali mbali ya kimaendeleo wilayani Pangani tarehe 28/07/2019 ikiwa ni harakati ya kuhakikisha miradi inayoanzishwa wilayani humo inaleta tija kwa wananchi .

 Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Mwera mara baada ya kukagua ujenzi wa hosteli mheshimiwa Aweso amesema kuwa serikali ya wamu ya tano inaendelea kuleta miradi ya mendeleo wilayani Pangani ikiwemo ujenzi wa kidato cha tano na sita, miradi ya maji ,pamoja ujenzi wa vituo vya afya katika kata ya mkalamo na mwera Aweso amesema kuwa miradi inayoanzishwa ili iweze kuleta tija katika wilaya ya pangani nivyema wazazi kuhakisha wanawekeza katika elimu na kuongeza kuwa tayari raisi ameshatuma viongozi wa wizara ya ujenzi waje kutia saini ili ujenzi wa barabara ya Tanga Pangani Saadani uanze na zoezi hilo linatarajiwa kufanyika mapema mnamo siku ya jumatano

 “ndugu zangu mlisema hapa mwera mlisema kunachangamoto ya huduma ya afya kituo cha afya kimejengwa na kuna mradi mkubwa maji mkubwa utatekelezwa hapa kwa ajili ya mwera na ushongo ndugu zangu taifa lolote lilioendelea limewekeza katika elimu chonde chone tusomshe watoto wetu na na mimi nataka rais sikumoja atokee hapa pangani ‘ “Napia mheshimiwa raisi amenituma niwape salamu zenu keshokutwa siku ya jumatano tarehe 31 anatuma team ya viongozi wa wizara ya ujenzi kuja kutia saini ili ujenzi wa barabara ya Tanga Pangani saadani uanze nami mbunge wenu nitasimamia wafanyakazi vijana watokee Pangani“

Aidha aweso akiwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya sokoni mjini Pangani ametoa msaada wa kofia na miwani kwa watu wenye ulemavu wa ngozi pamoja na baiskeli za magurudumu matatu kwa walemavu wa miguu ambapo katibu wa walemavu wilayani humo bwana ibrahimu kayanda amemshukuru mbungewa jimbo hilo kwa msaada alioutoa kwa walemavu .,maktaba ya kujisomea ,zahanati ya kikokwe pamoja na shule ya sekondari ya mwera ambapo kuna ujenzi wa hosteli kwa ajili ya kidato cha tano

Tangazo

  • AJIRA ZA AFYA September 17, 2019
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIO CHAGULIWA KUINGIA KIDATO CHA KWANZA KATIKA HALMASHAULI YA WILAYA YA PANGANI December 18, 2020
  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2020 TANZANIA ZIMA POFYA KWENYE LINK HIYO HAPO CHINI January 15, 2021
  • UCHAGUZI WA WAJUMBE BODI YA MAMLAKA YA MAJI PANGANI MJINI June 04, 2018
  • Angalia zote

Habari za Sasa

  • HALMASHAURI YA WILAYA PANGANI KUTATHMINI JUU YA MATUMIZI YA B.M.U

    September 01, 2019
  • AWESO AWEKA MSISITIZO MIRADI KULETA TIJA KWA WANANCHI

    July 28, 2019
  • MWENGE WAKEMEA VITENDO VYA RUSHWA

    July 08, 2019
  • AGIZO LA WAZIRI JAFO LATEKELEZWA KWA VITENDO WILAYANI PANGANI

    July 08, 2019
  • Angalia zote

Video

Kauli ya mkuu wa mkoa wa Tanga Mh.Martine Shigela juu ya Mustakhabali wa Barabara ya Pangani-Tanga-Saadani-Bagamoyo.
Video zaidi

Kurasa za haraka

  • Mwongozo wa Tehama
  • Ratiba ya Vikao vya Halmashauri
  • Miongozo mbalimbali

Kurasa za mfanano

  • Ikulu
  • Utumishi
  • TAMISEMI
  • Miongozo mbali mbali
  • Idara Kuu ya Takwimu(NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Pangani District Council

    Sanduku la Posta: 89 Pangani -Tanga

    Namba ya Mezani: +255 (0) 27 2630058

    Namba ya simu: 0658100588/062289307

    Barua Pepe : ded@panganidc.go.tz

Mawasiliano Mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki @ 2017 Halmashauri ya Wilaya Pangani .Haki Zote Zimehifadhiwa